HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, May 6, 2019

MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU LEO BUNGENI JIJINI DODOMA

 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akimsikiliza Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni, Bungeni jijini Dodoma Mei 6.2019.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
 Waziri  Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk Harrison Mwakyembe, Bungeni jijini Dodoma Mei 6.2019.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
 Waziri  Mkuu Kassim Majaliwa, akisalimiana na Mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msigwa, kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma Mei 6.2019.
 Waziri  Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Wabunge, kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma Mei 6.2019. Kutoka kushoto ni Mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde, Mbunge wa Bukoba vijijini Jason Rweikiza, Mbunge wa Sumve Richard Ndasa, Mbunge wa Sengerema William Ngeleja.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad