HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, April 17, 2019

WATUMISHI WA UMMA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA UADILIFU

Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma, Jaji mstaafu Dkt. Steven James Bwana (kulia) akizungumza katika mahojiano maalum na bwana Rutengano Haonga wa TBC 1 (kushoto) yaliyofanyika leo jijini Dar es Salaam. (Picha na PO PSC)
Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma Jaji mstaafu Dkt. Steven James Bwana (kulia) akiteta jambo na bwana Rutengano Haonga wa TBC 1 (katikati) jijini Dar es Salaam . (Picha na PO PSC)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad