HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, March 23, 2019

RAIS DKT. SHEIN AFUNGUA SKULI YA MSINGI NA MAANDALIZI FUONI PANGAWE WILAYA YA MAGHARIBI B UNGUJA

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, akikata Utepe kuashiria kuifungua Skuli ya Msingi na Maandalizi ya Fuoni Pangawe Wilaya ya Magharibi B Unguja kushoto Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Riziki Pembe Juma na Mwakilishi wa Balozi Mdogo wa China Zanzibar Bi, Shen Qi na kulia Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ. Haji Omar Kheri na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja. Ayoub Mohammed Mahmoud.(Picha na Ikulu)
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia Wananchi wa Jimbo la Fuoni na Pangawe, wakati wa hafla ya ufunguzi wa Skuli ya Msingi na Maandalizi ya Fuoni Pangawe Wilaya ya Magharibi B,Unguja. katika viwanja vya Skuli hiyo Fuoni Mambosasa.(Picha na Ikulu).
 KATIBU Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Dkt. Idrissa Muslim Hijja akitowa maelezo ya Kitaalam ya ujenzi wa majengom ya Skuli ya Msingi na Maandalizi Fuoni Pangawe Wilaya ya Maghareibi B Unguja wakati wa hafla hiyo leo.(Picha na Ikulu)
 MWAKILISHI wa Ubalozi Mdogo wa Jamuhuri ya Watu wa China Zanzibar B. Shen Qi, akitowa salamu za Serikali ya China wakati wa hafla ya ufunguzi wa Skuli hiyo iliojengwa kupitia msaada kutoka China, wakati wa hafla hiyo ya ufunguzi uliofanyika leo 23-3-2019.(Picha na Ikulu)
 WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar  Riziki Pembe Juma, akizungumza wakati wa hafla ya ufunguzi wa Skuli ya Msingi na Maandalizi ya Fuoni Pangawe Wilaya ya Magharibi B,Unguja iliojengwa kwa msaada na Serikali ya Jamuhuri ya Watu wa China kwa kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.(Picha na Ikulu)
 RAIS wa Zanzibare na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Dk. Ali Mohamed Shein, akitembelea moja ya madarasa ya Skuli ya Msingi na Maandalizi Fuoni Pangawe,baada ya kuifungua akizungumza na wWanafunzi katika darasa hilo kushoto Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar.Dkt. Idrissa Muslim Hijja.(Picha na Ikulu)
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Rizipi Pembe Juma, akitowa maelezo wakati akitembelea chumba cha maabara ya Skuli hiyo baada ya kuifungua leo,23-3-2019.(Picha na Ikulu)
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akitembelea majengo ya Skuli ya Msingi na Maandalizi Fuoni Pangawe, baada ya ufunguzi wa Skuli hiyo akimsikiliza Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Riziki Pembe Juma kulia na kushoto Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Dkt. Idrissa Muslim Hijja.(Picha na Ikulu)
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, akielekea katika eneo lililotengwa kwa ajili ya kuzungumza na Wananchi wakati wa hafla hiyo ya ufunguzi wa Skuli ya Msingi na Maandalizi Fuoni Pangawe Wilaya ya Magharibi B,Unguja leo, kulia Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar  Riziki Pembe Juma na kushoto Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ, Haji Omar Kheri.(Picha na Ikulu)
 WANAFUNZI wa Skuli ya Msingi Fuoni wakifuatilia hafla ya ufunguzi wa Skuli ya Msingi Fuoniwakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, akihutubia katika hadhara hiyo.(Picha na Ikulu)
WANAFUNZI wa Skuli ya Fuoniu wakiimba wimbo wa Sisi Sote Tumegomboka wakatin wa hafla ya ufunguzi wa Majengo ya Skuli ya Msingi na Maandalizi ya Fuoni Pangawe Wilaya ya Magharibi B,Unguja leo.(Picha na Ikulu)
 WANANCHI wa Fuoni Pangawe wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Skuli ya Msingi na Maandalizi ya Fuoni Pangawe wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, akihutubia katiika hafla hiyo iuliofanyika katika viwanja vya skuli hiyo Fuoni Mambosasa leo,23-3-2019.(Picha na Ikulu)

 BAADHI ya Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati wa hafla ya ufunguzi wa Skuli ya Msingi na Maandalizi ya Fuoni Pangawe Wilaya ya Magharibi B, Unguja leo.Picha na Ikulu)
 JENGO jipya la la Skuli ya Msingi na Maandalizi Fuoni Pangawe Wilaya ya Magharibi B Unguja Ilililojengwa na Serikali ya Jamuhuri ya Watu wa China na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.lililozinduliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Dk. Ali Mohamed Shein, leo,23-3-2019.(Picha na Ikulu)
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mwakilishi wa Ubalozi Mdogo wa China Uliopo Zanzibar Bi. Shen Qi , alipowasili katika viwanja vya Skuli ya Msingi na Maandalizi ya Fuoni Pangawe Wilaya ya Magharibi B Unguja, (Picha na Ikulu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad