HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, March 14, 2019

MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS YOWERI MUSEVENI JIJINI KAMPALA

 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni mara baada ya kumalizika kwa mkutano wa Africa Now Summit 2019 katika hoteli ya Munyonyo Commonwealth Resort mjini Kampala, Uganda. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad