HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, February 5, 2019

SPIKA NDUGAI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA WAFANYABIASHARA KUTOKA UTURUKI OFISINI KWAKE JIJINI DODOMA

 Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akizungumza na Wafanyabishara kutoka Kampuni ya MNG ya nchini Uturuki walipomtembelea mapema leo Ofisini kwake Jijini Dodoma.
 Rais  wa  Kampuni ya MNG ya nchini Uturuki Bw. Mehment Nazif Gunal akimueleza jambo Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai wakati walipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma.
  Spika wa Bunge (kulia) katika picha ya pamoja na Rais  wa  Kampuni ya MNG ya nchini Uturuki Bw. Mehment Nazif Gunal mara baada ya kuzungumza naye Ofisini kwake Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai katika picha ya pamoja na Wafanyabishara kutoka Kampuni ya MNG ya nchini Uturuki mara baada ya kuzungumza nao Ofisini kwake Jijini Dodoma.

PICHA NA BUNGE

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad