HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, February 28, 2019

LORI LAPIGA MWELEKA ENEO LA KIBAMBA JIJINI DAR ES SALAAM


Lori lililokuwa likitoka jijini Dar es Salaam kuelekea mkoa wa Pwani limepiga mweleka na kuingia mtaroni katika barabara ya Morogoro eneo la Kibamba wilaya ya Ubungo jijini Dar as Salaam leo, chanzo cha ajali hiyo inadaiwa gari ilishindwa kupanda katika mlima wenye mwinuko mkali (picha na Emmanuel Massaka Globu ya jamii).
Baadhai ya wakazi wa eneo hilo wakipita pembeni ya lori hilo lililo piga mweleka na kuingia mtaroni barabara ya Morogoro eneo la Kibamba wilaya ya Ubungo jijini Dar as Salaam leo, chanzo cha ajali hiyo gari  inaelezwa gari ilishindwa kupanda mlima wenye mwinuko mkali.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad