HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, January 9, 2019

WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS KATIBA SHERIA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA AWEKA JIWELA MSINGI FARAJA LA KIBONDEMZUNGU ZANZIBAR

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora Haroun Ali Suleiman akitoa hotuba ya Uwekaji wa jiwe la msingi  Daraja la Kibondemzungu   Wilaya ya Magharibi B Unguja.Ikiwa ni shamra shamra za miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.Kulia yake  ni Waziri wa  Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Dkt,Sira Ubwa Mamboya  na kushoto yake ni  Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Mustafa Aboud  Jumbe.
 Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Mustafa Aboud Jumbe akitoa maelezo ya Kitaalam kuhusiana na Ujenzi wa Daraja la Kibondemzungu   Wilaya ya Magharibi B Unguja.Ikiwa ni shamra shamra za miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.   
 Baadhi ya Wananchi mbalimbali waliohudhuria katika hafla ya  Uwekaji wa Jiwe la Msingi  Daraja la Kibondemzungu   Wilaya ya Magharibi B Unguja.Ikiwa ni shamra shamra za miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.  
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora Haroun Ali Suleiman kulia akibadilishana mawazo na Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Dkt,Sira Ubwa Mamboya katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi  Daraja la Kibondemzungu   Wilaya ya Magharibi B Unguja.Ikiwa ni shamra shamra za miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar. 
 Daraja la Kibondemzungu lililowekewa jiwe la msingi na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora Haroun Ali Suleiman Wilaya ya Magharibi B Unguja.Ikiwa ni shamra shamra za miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR. 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad