HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, January 17, 2019

Promosheni ya Tusua Ada na Omo yapata washindi watatu wa 1.5 Milioni

Meneja wa Sabuni ya Omo, Upendo Mkusa(kushoto) akimkabidhi mshindi wa droo ya kwanza, Muzdalifa Hamadi Haji pesa taslimu Shilingi laki tano(500,000/=) aliyoshinda katika Promosheni ya “Tusua Ada na Omo” inayoendelea katika Supermakert ya Choppies Mlimani City.Droo ya kwanza ilichezeshwa mwishoni mwa wiki katika Supermarkert ya kubwa tatu tofauti ambayo ni Choppies,Game Mlimani City na Shoppers Mikocheni, washindi watatu walijishindia pesa taslimu Shilingi 500,000/= kila mmoja.
Meneja wa Sabuni ya Omo, Upendo Mkusa(kushoto) akimkabidhi mshindi wa droo ya kwanza, Gift Obed Ondara pesa taslimu Shilingi laki tano(500,000/=) aliyoshinda katika Promosheni ya “Tusua Ada na Omo” inayoendelea katika Supermakert ya Shoppers Mikocheni.Droo ya kwanza ilichezeshwa mwishoni mwa wiki katika Supermakertn ya kubwa tatu tofauti ambayo ni Choppies,Game Mlimani City na Shoppers Mikocheni na washindi watatu walijishindia pesa taslimu Shilingi 500,000/= kila mmoja.
Meneja wa Sabuni ya Omo, Upendo Mkusa(kushoto) akimkabidhi mshindi wa droo ya kwanza, Isabela Sango Luhanga pesa taslimu Shilingi laki tano(500,000/=) aliyoshinda katika Promosheni ya “Tusua Ada na Omo” inayoendelea katika Supermarket ya Game Mlimani City.Droo ya kwanza ilichezeshwa mwishoni mwa wiki katika Supermarket ya Choppies,Game Mlimani City na Shoppers Mikocheni na washindi watatu walijishindia pesa taslimu Shilingi 500,000/= kila mmoja.
WASHINDI watatu kutoka katika maeneo tofauti ya jijini Dar es Salaam wamejishindia jumla ya pesa taslimu Shilingi 1,500,000/= ikiwa ni shilingi 500,000/= kila mmoja katika promosheni ya Tusua Ada na Omo inayoendelea katika Supermakert kubwa ya Game, Choppies Mlimani City na Shoppers Mikocheni,Masaki na Mbezi. Washindi hao walipatikana mara baada ya kununua Omo na kuingia rasmi kwenye droo kubwa inayochezeshwa katika Supermakert hizo.

Akizungumza na Waandishi wa Habari Meneja wa Omo, Upendo Mkusa kwanza aliwapongeza washindi wote watatu wa droo ya kwanza na kuwaomba kama wana watoto wanasoma pesa hizo wakazilekeze katika kuwasaidia watoto wao katika sekta ya kuwaendeleza kielimu.

Kampuni ya Unilever kupitia bidhaa yake ya Sabuni ya Omo wanatambua kama jamii ya Watanzania imetoka katika kipindi cha Siku kuu ya Chrismass na Mwaka mpya hivyo wakaona ni jambo jema kuungana na wanafamilia katika kipindi hiki cha watoto kwenda shule kuchangia kwa namna moja ama nyingine kupitia promosheni hii.

Alisema Upendo, katika Promosheni hii ya Tusua Ada na Omo jumla ya Shilingi milioni sita (6,000 000/=) zitatolewa kwa washindi 12 ikiwa kila mmoja atajishindia pesa taslimu Shilingi laki tano(500,000/=).

Alisema Upendu ushiriki uko wazi kwa kila mtu lakini lazima uwe na umri zaidi ya miaka 18, ni lazima ununue Omo 1kg moja ziwe pakti mbili au 500gm pakti ziwe nne au 3.5kg pakti moja,ambapo mshiriki utapewa kuponi ya itakayoingizwa kwenye droo itakayochezesha kila jumamosi ya juma hilo. Mwisho Upendo aliwaomba wakazi wa jiji la Dar es Salaam kuchangamkia fursa ya pesa hiyo kwani ushiriki na ushindi wake uko wazi.

Nikufanya manunuzi ya Omo katika Supermakert ya Game,Choppies au Shoppers Mikocheni, Msaki au Mbezi tayari unaweza kujishindia pesa taslimu Shilingi 500,000/=.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad