HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, January 17, 2019

GARI LA TATU PROMOSHENI YA 'TBL KUMENOGA, TUKUTANE BAA' LAENDA ARUSHA

 Meneja wa huduma za Masoko wa TBL, David Tarimo (katikati) akiongea na waandishi wa habari wakati wa kumtafuta mshindi wa tatu wa promosheni ya TBL Kumenoga Tukutane baa. ambapo mkazi wa Arusha George Issaya (29) aliibuka mshindi wa gari aina ya Renauld Kwid. Droo hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam, Kutoka Kushoto ni Meneja Matukio wa TBL, Adam Kefa, na msimamizi wa michezo ya Kubahatisha nchini ,Majid Bakari.
 Meneja wa huduma za Masoko wa TBL,David Tarimo (wapili kushoto) akipofya kitufe cha Komputa wakati wa kumtafuta mshindi wa tatu na wa mwisho wa promosheni ya TBL Kumenoga Tukutane baa. ambapo mkazi wa Arusha George Issaya (29) aliibuka mshindi wa gari aina ya Renauld Kwid. Droo hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam, Kutoka Kushoto ni Meneja Matukio wa TBL, Adam Kefa, Meneja wa huduma za Jamii wa Aim group, Aidan Mattaka na msimamizi wa michezo ya Kubahatisha nchini ,Majid Bakari.
Meneja wa huduma za Masoko wa TBL, David Tarimo (kushoto) akiongea na George Issaya (29) mkazi wa Arusha mara baada ya kuibuka mshindi wa gari aina ya Renauld Kwid. Wakati Droo ya tatu ya promosheni ya TBL Kumenoga Tukutane baa iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Katikati ni Meneja wa huduma za Jamii wa Aim group, Aidan Mattaka na msimamizi wa michezo ya Kubahatisha nchini, Majid Bakari.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad