HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, January 1, 2019

FAMILIA YA DAUDI LIANA YATOA MISAADA KWENYE WODI YA WAZAZI WILAYANI MWANGA

 
Familia ya Daudi Liana, Usangi-Mwanga Kilimanjaro wakitoa msaada wa mashuka kwa wodi ya wazazi ya hospitali ya Wilaya ya Mwanga, Usangi, Kilaweni.
Picha ya pamoja ya familia ya Daudi Liana wakiwa pamoja na uongozi wa hospitali ya wilaya ya Mwanga, Usangi Kilaweni.
Picha ya pamoja ya familia ya Daudi Liana wakiwa pamoja na uongozi wa hospitali ya wilaya ya Mwanga, Usangi Kilaweni
 
Mmoja ya wanafamilia ya Daudi Liana wa Usangi-Mwanga Kilimanjaro akionesha moja ya misaada ya mashuka kwa wodi ya wazazi ya hospitali ya Wilaya ya Mwanga, Usangi, Kilaweni.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad