HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, December 4, 2018

RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK.SHEIN AZUNGUMZA NA MWAKILISHI MKAAZI WA (WHO) NCHINI TANZANIA

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Mwakilishi Mkaazi wa wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Nchini Tanzania Dkt. Tigest Ketsela Mengestu, alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha kwa Rais wa Zanzibar leo 4/12/2018, kushoto kwa Rais, Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Hamad Rashid Mohammed, anayefuata  Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee.(Picha na Ikulu)
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Mwakilishi Mkaazi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Nchini Tanzania, Dkt. Tigest Ketsela Mengestu, alipofika Ikulu Zanzibar leo, 4/12/2018 kujitambulisha kwa Rais wa Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiongozana na mgeni wake Mwakilishi wa Mkaazi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Nchini Tanzania Dkt. Tigest Ketsela Mengestu, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika Ikulu Zanzibar leo, 4/12/2018.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad