HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, December 10, 2018

RAIS DKT. SHEIN AZUNGUMZA NA BALOZI WA UAE NCHINI TANZANIA LEO IKULU

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Balozi Mpya wa UAE Nchini Tanzania Mhe. Khalifa Abdulrahman Al Marzooqi, alipofiki Ikulu Zanzibar leo 10-12-2018, kujitambulisha kwa Rais wa Zanzibar na kufanya mazungumzo Ikulu Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Balozi Mpya wa UAE Nchini Tanzania Mhe, Khalifa Abdulrahman Al Marzooqi, alipofika Ikulu Zanzibar leo, kwa mazungumzo na Rais wa Zanzibar na kujitambulisha.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Ali Mohamed Shein, akizungumza na mgeni wake Balozi Mpya wa UAE Nchini Tanzania alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha, mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Ikulu leo.10-12-2018.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiongozana na mgeni wake Balozo wa UAE Nchini Tanzania Mhe. Khalifa Abdulrahman Al Marzooqi, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika Ikulu Zanzibar, alipofika kujitambulisha leo,10-12-2018.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiagana na mgeni wake Balozi Mpya ya UAE Nchini Tanzania Mhe. Khalifa Abdulrahman Al Marzooqi, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika Ikulu Zanzibar leo.10-12-2018.(Picha na Ikulu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad