Mombo ni eneo maarufu ambalo kwa sasa limezidi kujizolea sifa na umaarufu mkubwa kwa kuchoma nyama ya mbuzi, ambapo wasafiri wengi wanaotumia barabara kuu ya Dar es Salaam kuelekea mikoa ya Kilimanjaro,Arusha wasafiri huwa wakisimama eneo hili na kupata nyama choma kama inavyoonekanika pichani, wauzaji wakiandaa wakiandaa huku baadhi ya wasafiri wakijisevia.Picha na Emanuel Massaka.
Tuesday, December 18, 2018

JIONEE MWENYEWE MOMBO NA UMAARUFU WA NYAMA CHOMA YA MBUZ
Tags
# Picha za Mtaa kwa Mtaa
Picha za Mtaa kwa Mtaa
Labels:
Picha za Mtaa kwa Mtaa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment