HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, November 23, 2018

RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AFUNGUA MKUTANO WA TANO WA CHAMA CHA WATAALAMU WA FIGO TANZANIA

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati wa hafla ya Mkutano wa Tano wa Chama Cha Wataalamu wa Figo Tanzania, uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini Zanzibar, leo 23/11/2018, na kuhudhuriwa na Wataalamu wa Maradhi ya Figo kutoka Tanzania na Nje ya Tanzania.
 WAZIRI wa Afya Zanzibar Mhe. Hamad Rashid Mohammed akizungumza wakati wa Mkutano wa Tano wa Wataalamu wa Chama Cha Figo Tanzania, kabla ya kumkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, uliofanyika katika ukumbi wa Karume Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini Zanzibar.
 MWENYEKITI wa Chama Cha Wataalamu wa Figo Tanzania Dr. Onesmo Kisanga , akizungumza wakati wa hafla hiyo ya ufunguzi wa mkutano huo  uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini Zanzibar, na kuwashirikisha Wataalamu wa Maradhi hayo kutoka Tanzania na Nje, uliofunguliwa na Rais wa Zanzibar Dk. Shein
 BAADHI Madaktari Bingwa wa Maradhi ya Figo wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akifungua Mkutano huo, katika ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini Zanzibar leo 23/11/2018.


 BAADHI ya Washiriki wa Mkutano wa Tano wa Wataalamu wa Chama Cha Figo Tanzania wakifuatilia Mkutano huo wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia mkutano huo uliofanyika katika Ukumbi wa Zanzibar Beach Resort Mazizini Zanzibar.
 WANAFUNZI wa Chuo Cha Afya Zanzibar wakifuatilia Mkutano huo wa Wataalamu wa Chama Cha Figo Tanzania wakati wa ufunguzi huo uliofanyika  ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini Zanzibar. 
 BAADHI ya Madaktari wa Magonjwa wa Maradhi ya Figo wakifuatilia ufunguzi wa Mkutano wa Tano wa Chama Cha Wataalamu wa Figo Tanzania uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Zanzibae Beach Resort Mazizina Zanzibar leo.
 WAKWANZA  Mshauri  wa Waziri wa Afya Dr. Mohammed Jidawi , Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Issa Haji Gavu,Waziri wa Ujenzi  Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar Mhe Ali Karume na Naibu Waziri Afya Zanzibar Mhe. Harusi Saidi Suleiman, wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein.

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Mtaalam wa Kampuni ya Harsh Pharmaceuticals Limited ya Dar es Salaam,Ndg. Augustino Mbunda, akitowa maelezo ya Mashine ya kusafishia Figo, wakati wa Ufunguzi wa Mkutano wa Tano wa Chama Cha Wataalamu wa Figo Tanzania uliofanyika katika ukumbi wa Karume Hoteli ya Zanzibar Beach Resout Mazizini Zanzibar kulia Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Hamad Rashid na kushoto Mwenyekiti wa  NESOT. Dr. Onesmo Kisanga, wakati akitembelea maonesho hayo.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, kushoto Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe Balozi Seif Ali Iddi na kulia Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Hamah Rashid Mohammed, wakimsikiliza Mtaalamu wa Kampuni ya Harsh Pharmaceuticals Limited Ndg. Augustino Mbunda, akitowa maelezo ya Dawa zinazotumika kwa Wagonjwa waradhi ya Figo wakati akitembelea monesho kabla ya ufunguzi wa Mkutano wa Tano wa Chama Cha Wataalam wa Figo Tanzania uliofanyika katika ukumbi wa Karume Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini Zanzibar
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akisoma Kijarida cha Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, wakati wa mkutano huo wa Wataalamu wa Chama Cha Figo Tanzania,uliofanyika katika ukumbi wa Karume Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete(JKCI) Profesa Mohammed Janabi,kulia wakiwa nje ya ukumbi wa mkutano baada ya ufunguzi huo, na kushoto Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Hamad Rashid Mohammed na Dr. Mohammed Jidawi Mshauri wa Waziri Afya Zanzibar.(Picha na Ikulu )

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad