HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, November 1, 2018

NAIBU SPIKA AKUTANA NA TIMU YA MBEYA CITY FC JIJINI DODOMA

 Naibu Spika wa Bunge Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Wachezaji pamoja na Viongozi wa Timu ya Mbeya City FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Tanzania Bara walipotembelea Bungeni kwa ajili Ziara ya Mafunzo hii leo katika Ukumbi wa Pius Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. 
 Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya Mbeya James Kasusura akifafanua jambo mbele ya Naibu Spika wa Bunge Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson kwenye Ukumbi wa Pius Msekwa katika Ziara ya Wachezaji na Viongozi wa Timu ya Mbeya City FC walipotembelea Bungeni kwa ajili ya Ziara ya Mafunzo hii leo Jijini Dodoma. 
Naibu Spika wa Bunge Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson akiwa katika picha ya pamoja na Wachezaji na Viongozi wa Timu ya Mbeya City FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Tanzania Bara walipotembelea Bungeni kwa ajili ya kufanya Ziara ya Mafunzo hii leo Jijini Dodoma. (Picha na Ofisi ya Bunge)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad