HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, November 22, 2018

Mashindano ya Riadha kwa Wanawake "Ladies First" Kufanyika Dar

Kaimu Katibu Mkuu wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Alex Mkenyenge (katikati) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akitangaza mashindano ya riadha kwa wanawake yanayoitwa “Ladies First” yanayotarajiwa kufanyika tarehe 24-25 Novemba katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, kulia ni Mwakilishi Mkazi Mwandamizi wa Taasisi ya Ushirikiano wa Kimataifa ya Japan (JICA) Bw. Toshio Nagase na kushoto ni Katibu Msaidizi wa Chama cha Riadha nchini (RT) Bi. Ombeni Zavala.
Mwakilishi Mkazi Mwandamizi wa Taasisi ya Ushirikiano wa Kimataifa ya Japan (JICA) Bw. Toshio Nagase akifafanua  jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza mashindano ya riadha kwa wanawake yanayoitwa “Ladies First” yanayotarajiwa kufanyika tarehe 24-25 Novemba katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, katikati ni Kaimu Katibu Mkuu wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Alex Mkenyenge na kushoto ni Katibu Msaidizi wa Chama cha Riadha nchini (RT) Bi. Ombeni Zavala.
Katibu Msaidizi wa Chama cha Riadha nchini (RT) Bi. Ombeni Zavala akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza mashindano ya riadha kwa wanawake yanayoitwa “Ladies First” yanayotarajiwa kufanyika tarehe 24-25 Novemba katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, katikati ni Kaimu Katibu Mkuu wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Alex Mkenyenge na kulia ni ni Mwakilishi Mkazi Mwandamizi wa Taasisi ya Ushirikiano wa Kimataifa ya Japan (JICA) Bw. Toshio Nagase.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mwakilishi Mkazi Mwandamizi wa Taasisi ya Ushirikiano wa Kimataifa ya Japan (JICA) Bw. Toshio Nagase (wa pili toka kushoto) wakati wa kutangaza mashindano ya riadha kwa wanawake yanayoitwa “Ladies First” yanayotarajiwa kufanyika tarehe 24-25 Novemba katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Picha na WHUSM- Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad