HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, November 8, 2018

Ecobank Tanzania Limited yakutana na wateja wao jijini Dar es Salaam

 Mkurugenzi Mtendaji wa Ecobank Tanzania, Mwanahiba Mzee akizungumza na wateja wa  Ecobank  wakati wa hafla ya kuongea na wateja lengo ikiwa ni kukutana na wateja wao kuwasikiliza ili kuboresha huduma, ufanisi pamoja na kuwa karibu zaidi na wateja wao wakati wa siku ya wateja wa benki hiyo iliyofanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
 Mkuu wa kitengo cha biashara Ecobank Tanzania Respige Kimati akiwasilisha mada kwa wateja wa benki hiyo wakati wa hafla iliyowakutanisha wateja mbalimbali wa benki hiyo iliyofanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam
Mkuu wa kitengo cha Kidigitali Ecobank Tanzania, Filemon Tesha akiwasilisha mada mada kuhusu utumiaji wa benki hiyo kwa njia ya kidigitali wakati wa hafla iliyowakutanisha wateja mbalimbali wa benki hiyo iliyofanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam
Mkuu wa kitengo cha Masoko na Mawasiliano Ecobank Tanzania, Furaha Samalu akiwa kwenye picha ya pamoja na wateja wa benki hiyo wakati wa hafla iliyowakutanisha wateja mbalimbali wa benki hiyo iliyofanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam
 Baadhi ya wateja pamoja na wafnayakazi wa benki ya Ecobank  wakiwa kwenye hafla iliyoandaliwa na benki hiyo kwa wateja wao ili kutambua  mchango wao katika benki hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad