HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, November 6, 2018

DIASPORA CANADA (ZACADIA )YAKABIDHI WHEEL CHAIR IDARA YA WATU WENYE ULEMAVU ZANZIBAR

 KAIMU Mkurugenzi Idara ya Diaspora Zanzibar Ndg Hassan Khatib Hassan,akimkabidhi msaada wa wheel chair Mkurugenzi wa Idara ya Watu Wenye Ulemavu Zanzibar Bi. Abeda Abdalla Rashid, vivilivotolewa na Wazanzibar wanaoishi Nchini Canada wa Jumuiya ya Diaspora ya ZACADIA, kushoto Menaja wa Diaspora ya ZACADIA, Bi. Firdaus Rashid Rabia,hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Idara hiyo migombani Zanzibar.(Picha na Ikulu)
 MKURUGENZI wa Idara ya Watu Wenye Ulemavu Zanzibar Bi. Abeda Rashid Abdallah, akimkabidhi Wheel Chair,Ndg Abubakar Abdulatif  mlezi wa Mtoto mwenye Ulemavu Saleh Mustafa Mussa, baada ya kukabidhiwa na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Diaspora Zanzibar,Ndg. Hassan Khatib Hassan, katika viwanja vya Idara hiyo Migombani Zanzibar Wheel Chair hizo zimetolewa na Wazanzibar wanaoishi Nchini Canada, wa Taasisi ya ZACADIA Diaspora.
MKURUGENZI wa Idara ya Watu Wenye Ulemavu Zanzibar Bi.Abeda Rashid Abdallah, akimuendesha Mtoto mwenye Ulemavu Saleh Mustafa Mussa,baada ya kumkabidhi Wheek Chair, zilizotolewa na Diaspora Wazanzibari wanaoishi Nchini Canada wa Jumuiya ya ZACADIA, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Idara hiyo Migombani Zanzibar.(Picha na Ikulu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad