HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, October 12, 2018

washindi waendelea kuibuka promosheni ya “Shinda na SimAccount”

Meneja Masoko wa CRDB Micro Finance, Ariel Mkony (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kufanya droo ya tatu ya promosheni ya “Shinda na SimAccount”, iliyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa CRDB Micro Finance, Mikocheni jijini Dar es salaam leo. Kushoto ni Msimamizi wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini ,Abdallah Hamedi
Meneja Masoko wa CRDB Micro Finance, Ariel Mkony akiendesha droo ya tatu ya promosheni ya “Shinda na SimAccount”, iliyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa CRDB Micro Finance, Mikocheni jijini Dar es salaam leo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad