HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, October 8, 2018

KAMATI YA UONGOZI YA CHAMA CHA MASPIKA WA MABUNGE YA JUMUIYA YA MADOLA KANDA YA AFRIKA (CPA - AFRIKA) YATEMBELEA SOKO LA KIHISTORIA LA WATUMWA LA MKUNAZINI, MJINI UNGUJA, ZANZIBAR

 Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai (Mb), (aliyesimama katikakati) na ujumbe wake ambao ni Kamati ya Uongozi ya Chama cha Maspika wa Mabunge ya Jumuia ya Madola Kanda ya Afrika (CPA - Afrika) wametembelea soko la watumwa lijulikanalo kama Stone Town  Mjini Unguja. 
 Kamati ya Uongozi ya Chama cha Maspika wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CPA - Afrika) ikiongozwa na Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai wakisikiliza maelezo kuhusiana na biashara ya utumwa katika madhabahu ya kanisa la Angalikana liliojegwa mahsusi kwa ajili ya kukomesha bishara ya utumwa wakati wa ukoloni katika eneo la Mkunazini  Mjini Unguja.
 Spika wa Bunge la Sierra leone Dkt Abbas Bundu( wapili kutoka kushoto) akiuliza swali wakati Kamati ya Uongozi ya Chama cha Maspika wa Mabunge ya Jumuia ya Madola Kanda ya Afrika (CPA - Afrika) inayoongozwa na Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai walipotembelea katika Soko la Watumwa lijulikanalo kama Stone Town  Mjini Unguja.
Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai (wapili kutoka kulia) akiwa na ujumbe wake wa Kamati ya Uongozi ya Chama cha Maspika wa Mabunge ya Jumuia ya Madola Kanda ya Afrika (CPA - Afrika) wakisikiliza maelezo kuhusiana na biashara ya utumwa katika eneo la Mkunazini (Stone Town)  Mjini Unguja. 

PICHA NA BUNGE

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad