HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, September 3, 2018

Vodacom yatoa gari la Tisa la M-Pesa jijini Tanga katika sherehe ya kufana

  Mkuu wa kanda ya Kaskazini wa Vodacom Tanzania, Brigita Stephen (kushoto) akikabidhi kadi ya gari kwa mkazi wa Tanga Adolf Mlay, huku mkewe Amina Urssa akishuhudia, hafla hiyo ya kusherehekea miaka 10 ya M-Pesa ilifanyika katika viwanja vya Commercial jijini Tanga, ili kushinda Mteja anatakiwa kufanya miamala mingi Zaidi na kutumia M-Pesa ili kujikusanyia points na kuongeza wigo wa kushinda.
  Mshindi wa gari ya tisa ya M-Pesa kutoka Tanga Adolf Mlay (wa pili kushoto) na wake wakionesha kadi ya gari wakati wa hafla ya kukabidhiwa gari katika viwanja vya Commercial jijini Tanga
Mshindi wa gari ya tisa ya M-Pesa kutoka Tanga Adolf Mlayakiingia kwenye gari lake mara baada ya kukabidhiwa na kampuni ya simu ya Vodacomkatika viwanja vya Commercial jijini Tanga
Mshindi wa gari ya tisa ya M-Pesa kutoka Tanga Adolf Mlay (wa pili kushoto) akiwa na familia yake wakati wa hafla ya kukabidhiwa gari katika viwanja vya Commercial jijini Tanga

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad