HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, August 4, 2018

WAKAAZI WA SIMIYU WAFURAHIA BIDHAA NDANI YA BANDA LA TIGO MAONESHO YA NANENANE

Wakaazi mbali mbali wa Mkoa wa Simiyu wakipatiwa huduma na mtoa huduma waTigo, Emmanuel Pius katika harakati za kununua simu za mkononi zinazotolewa kwa punguzo la bei na kampuni ya mawasiliano ya Tigo katika maonesho ya Kitaifa ya Nane Nane yanayoendelea katika Uwanja wa Nyakabindi uliopo katika Halmashauri ya Mji wa Bariadi, Mkoa wa Simiyu.
Sehemu ya Wakaazi mbali mbali wa Mkoa wa Simiyu wakipatiwa huduma huduma kutoka kwa wafanyakazi wa kampuni ya mawasiliano ya Tigo katika maonesho ya Kitaifa ya Nane Nane yanayoendelea katika Uwanja wa Nyakabindi uliopo katika Halmashauri ya Mji wa Bariadi, Mkoa wa Simiyu.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad