HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, August 2, 2018

SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA (NIC)LAJA NA BIMA YA KILIMO KWA WATANZANIA


 Naibu Waziri wa Kilimo, Omary  Mgumba (kulia) akimuuliza  Mkurugenzi wa masoko na huduma kwa wateja Elisante Maleko (kushoto) namna wakulima wanavyowenza kunufaika na bima ya  kilimo  katika maonyesho ya nanenane mkoani Simiyu.
Kushoto Mkurugenzi wa masoko na huduma kwa wateja wa Shirika la bima la taifa (NIC), Elisante Maleko akitoa maelezo ya bima ya kilimo kwa Naibu Waziri wa kilimo Mh. Omary Mgumba ambapo akitoa wito kwa wakulima wote nchini  kujiunga na bima ya Taifa katika  maonyesho ya wakulima nanenane mkoani Simiyu.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad