HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, August 27, 2018

KAMPUNI YA EY TANZANIA YAWAKUTANISHA PAMOJA WAFANYAKAZI WAKE KATIKA BONANZA LA MICHEZO

Sehemu ya Wafanyakazi wa Kampuni ya EY Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumalizika kwa Bonanza lao la Michezo, lililofanyika mwishoni kwa wiki kwenye Viwanja vya Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM). Zaidi ya michezo kumi ilichezwa uwanjani hapo, Wafanyakazi hao walijigawa katika makundi matano kutokea kila kitengo na kutengeneza timu tano katika kila mchezo (Kilimanjaro, Tigers, Rockets, Eagles pamoja na Wolves), ambapo ushindi wa jumla ulinyakuliwa na Timu Kilimanjaro.
 Mtendaji Mkuu Mwenza wa Kampuni ya EY Tanzania, Ukaguzi wa Hesabu (Audit Partner), Neema Kiure Mssusa akingumza wakati wa ufunguzi wa Bonanza la Michezo kwa Wafanyakazi wa Kampuni hiyo, lililofanyika mwishoni kwa wiki kwenye Viwanja vya Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM).
 Baadhi ya Wafanyakazi wa Kampuni ya EY Tanzania wakichuana vikali katika mchezo wa Soka wakati wa Bonanza lao la Michezo, lililofanyika mwishoni kwa wiki kwenye Viwanja vya Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM).






























No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad