HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, July 18, 2018

WAZIRI MHAGAMA ATENGUA UTEUZI WA KAIMU MTENDAJI MKUU WA TaESA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Muhagama akisilikiliza hoja za baadhi ya Wafanyakazi wa Wakala wa Huduma za Ajira (TaESA) wakati wa mkutano na wafanyakazi hao jinjini Dar es Salaam.
Watumishi wa Wakala wa Huduma za Ajira (TaESA) wakifuatilia maelezo ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Muhagama wakati wa mkutano na wafanyakazi hao jinjini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad