HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, July 29, 2018

RAIS DKT. MAGUFULI ASHIRIKI IBADA YA JUMAPILI KANISA LA MTAKATIFU PETRO OYSTERBAY JIJINI DAR ES SALAAM

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe wakishiriki katika ibada ya Jumapili katika kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay jijini Dar es salaam  Julai 29, 2018.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe akipokea Sakramenti Takatifu wakati wa ibada ya Jumapili katika kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay jijini Dar es salaam Julai 29, 2018'

Picha na IKULU

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad