Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamis Kigwangala (wa pili kulia) akiwa ameambatana pamoja na wakimbiaji wengine wakati wakihitimisha mbio za 21 KM katika Bagamoyo Historical Marathon, iliyofanyima mapema leo, Bagamoyo Mkoani Pwani. Dk. Kigwangala ndiye alikuwa Mgeni rasmi katika mashindano hayo.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamis Kigwangala akipongeza na baadhi ya washiriki wenzake baada ya kumaliza mbio za 21 KM katika Bagamoyo Historical Marathon, iliyofanyima mapema leo, Bagamoyo Mkoani Pwani.
Baadhi ya Washiriki wa mbio za Kilometa 21 katika Bagamoyo Historical Marathon wakianza kuondoka katika uwanja wa Shule ya Bagamoyo.
Mdau Godwin Semunyu wa Benki ya CRDB akiwa na mmoja wa washiriki wenzake katika Bagamoyo Historical Marathon, iliyofanyima mapema leo, Bagamoyo Mkoani Pwani.
No comments:
Post a Comment