HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, July 16, 2018

HUKUMU KESI YA WEMA SEPETU YASOGEZWA MBELE MPAKA JULAI 20

Muigizaji wa Bongo movie Wema Sepetu akitoka mahakamani baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuahirisha kusoma hukumu dhidi ya kesi yake ya matumizi ya dawa za kulevya inayomkabili yeye na wafanyakazi wake wawili.

Hukumu hiyo imesogezwa mbele na sasa itasomwa Julai 20  (Ijumaa). Mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba.

Hukumu hiyo ilipaswa kusomwa leo mapema, lakini Hakimu Simba ameiahirisha kwa kuwa kuna vitu ambavyo anatakiwa kuvifanyia uchunguzi zaidi kwa undani hivyo amesema mpaka Ijumaa ndio atatoa hukumu.

Wema alifikishwa mahakamani hapo kwa mara ya kwanza na wafanyakazi wake Aprili 23, 2018.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad