HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, June 27, 2018

Waziri mkuu ashiriki sherehe za kuhitimisha kuwepo madarakani kwa Mtukufu Agakhan

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akigonganisha glasi kumtakia afya njema, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Magufuli na Mtukufu Agakhan, katika sherehe za kuhitimisha kuwepo madarakani kwa Mtukufu Agakhan, kwenye viwanja vya Bunge, jijini Dodoma. Kushoto ni Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai na katikati ni   Mwakilishi Mkazi wa Mtandao wa Mashirika ya Maendeleo ya Agakhan (AKDN) Amin Kurji. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionyeshwa na Bw. Mehboob Chamsi pochi iliyotengenezwa Tanzania, katika  sherehe za kuhitimisha kuwepo madarakani kwa Mtukufu Agakhan, zilizofanyika kwenye viwanja vya Bunge, jijini Dodoma. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiangalia shati lililotengenezwa Tanzania, katika sherehe za kuhitimisha kuwepo madarakani kwa Mtukufu Agakhan, zilizofanyika kwenye viwanja vya Bunge, jijini Dodoma, kutoka kushoto ni Muwakilishi Mkazi wa Mtandao wa Mashirika ya Maendeleo ya Agakhan (AKDN) Amin Kurji akifuatiwa na Bw. Mehboob Chamsi. 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad