HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, June 27, 2018

RAIS DK.SHEIN AFANYA MAZUNGUMZO NA UONGOZI WIZARA YA ARDHI,NYUMBA,MAJI NA NISHATI

 Mkurugenzi Mkuu wa Zura Bw.Haji Kali Hajii  akitoa ufafanuzi kuhusu namna Uagiziaji wa Mafuta yanayofika Nchini na hatimae kuuzwa kwa Wananchi wakati wa Kikao cha Uongozi wa Wizara ya Ardhi,Nyumba,Maji na Nishati katika utekelezaji wa Mpango kazi kwa mwaka 2017-2018 na mpango Kazi kwa mwaka 2019-2019 katika ukumbi wa Ikulu Mjini zanzibar.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Ardhi,Nyumba,Maji na Nishati katika mkutano wa siku moja katika utekelezaji wa Mpango kazi kwa mwaka 2017-2018 na mpango Kazi kwa mwaka 2019-2019 katika ukumbi wa Ikulu Mjini zanzibar.
 Wizari wa Ardhi,Nyumba,Maji na Nishati  Mhe. Salama Aboud Talib akisoma muhtasari wa taarifa yake katika mkutano wa siku moja katika utekelezaji wa Mpango kazi kwa mwaka 2017-2018 na mpango Kazi kwa mwaka 2019-2019 katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar (kulia) Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi pia Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee.
 Mrajis wa Ardhi katika  Wizara ya Ardhi,Nyumba,Maji na Nishati Dk.Abdul-Nasser Hikmany alipokuwa akitoa maelezo yanayohusu masuala ya viwanja vinavyotolewa kwa Wananchi katika  mkutano wa siku moja katika utekelezaji wa Mpango kazi kwa mwaka 2017-2018 na mpango Kazi kwa mwaka 2019-2019 katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,Mwenyekiti wake akiwa   Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
 Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya Ardhi Zanzibar Ahmeid Rashid akitowa maelezo   katika  mkutano wa siku moja katika utekelezaji wa Mpango kazi kwa mwaka 2017-2018 na mpango Kazi kwa mwaka 2019-2019 katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,Mwenyekiti wake akiwa   Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) Naibu Waziri wa  Ardhi,Nyumba,Maji na Nishati  Mhe. Juma  Makungu Juma.
 Mhandisi Mji Mkongwe Nd,Mussa Awesu (kushoto) alipokuwa akitoa maelezo yanayohusu idara yake hasa Mradi wa Green Corridor unaoanzia Mkunazini hadi Posta Kijangwani wakati wa  mkutano wa siku moja wa Wizara ya Ardhi,Nyumba,Maji na Nishati katika utekelezaji wa Mpango kazi kwa mwaka 2017-2018 na mpango Kazi kwa mwaka 2019-2019 katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar.
Meneja wa Shirika la Umeme Zanzibar Nd,hassan Ali Mbarouk alipokuwa akitoa ufafanuzi wa kuhusu masuala ya Umeme  wakati wa  mkutano wa siku moja wa  Wizara ya Ardhi,Nyumba,Maji na Nishati  katika utekelezaji wa Mpango kazi kwa mwaka 2017-2018 na mpango Kazi kwa mwaka 2019-2019 katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar. (Picha na Ikulu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad