HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, June 20, 2018

Washindi wa Mawakala wa Tigo Pesa kanda kaskazini wapatikana

 Meneja wa Kampuni ya Mawasiliano ya Simu za Mkononi Tigo kanda ya Kaskazini, Aidan Komba akikabidhi mfano wa Hundi ya Sh Milioni moja kwa mshindi wa Pili, Kanda ya Kaskazini wa Promosheni iliyowahusisha Mawakala mtandao wa Tigo kupitia Tigo Pesa, Justin Mbazi kutoka wilaya ya Same.
 Meneja wa Kampuni ya Mawasiliano ya Simu za Mkononi Tigo kanda ya Kaska,zini, Aidan Komba akikabidhi mfano wa Hundi ya Sh Laki tano kwa mshindi wa tatu. Kanda ya Kaskazini wa Promosheni iliyowahusisha Mawakala mtandao wa Tigo kupitia Tigo Pesa, Vaileth Mkala.
Washindi wa Promosehni ya Mawakala wa Mtandao wa Simu za Mkononi ya Tigo kupitia Tigo Pesa wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Kampuni ya Tigo mara baada ya kukabidhiwa mifano ya Hundi baada ya kujishindia zawadi za Pesa katika Promosehini hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad