HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, June 18, 2018

OFISI YA MKEMIA MKUU WA SERIKALI YAWATUNUKU WANAFUNZI WALIOFANYA VIZURI MASOMO YA KEMIA NA BAIOLOJIA KITAIFA

 Mganga Mkuu wa Serikali Profesa Mohamed Bakari akizungumza katika hafla ya kuwatunukia wanafunzi Kidato cha Nne na cha Tano waliofanya vizuri kitaifa katika masomo ya Sayansi, Baioloji na Kemia iliyofanyika kwenye makao makuu ya Mamlaka ya Maabara ya  Mkemia Mkuu wa Serikali barabara ya Barack Obama jijini Dar es salaam.
 Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Wakala wa Maabara  ya Mkemia mkuu wa Serikali Profesa Esther Hellen Jason akizungumza katika hafla hiyo iliyofanyika makao makuu ya mamlaka hiyo jijini Dar es salaam.
Mkemia Mkuu wa Serikali  Dk Fidelice Mafumiko  akizungumza na kutoa maelezo kadhaa wakati wa kuwatunikia zawadi wanafunzi waliofanya vizuri katika masomo ya Sayansi, Kemia na Baioloji katika hafla iliyofanyika jijini Dar es salaam.
 Picha mbalimbali zikionyesha wanafunzi wakipokea vyeti na zawadi katika hafla hiyo.

 Picha mbalimbali zikionyesha wanafunzi wakipokea vyeti na zawadi katika hafla hiyo.



Baadhi ya wazazi wakiwa katika hafla hiyo.
Baadhi ya wanafunzi waliotunukiwa zawadi wakifuatilia hafla hiyo.
 
Baadhi ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali wakiwa katika hafla hiyo
Mgeni rasmi kutoka wizara ya afya ambaye ni mganga mkuu wa serikali Profesa Mohamed Bakari pamoja na viongozi wa  Mamlaka ya Maabara ya  Mkemia mkuu wa Serikali wakiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi hao.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad