Mganga Mkuu wa Serikali Profesa Mohamed Bakari akizungumza
katika hafla ya kuwatunukia wanafunzi Kidato cha Nne na cha Tano
waliofanya vizuri kitaifa katika masomo ya Sayansi, Baioloji na Kemia
iliyofanyika kwenye makao makuu ya Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa
Serikali barabara ya Barack Obama jijini Dar es salaam.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Wakala wa Maabara ya
Mkemia mkuu wa Serikali Profesa Esther Hellen Jason akizungumza katika hafla hiyo
iliyofanyika makao makuu ya mamlaka hiyo jijini Dar es salaam.
Mkemia Mkuu wa Serikali
Dk Fidelice Mafumiko akizungumza na kutoa maelezo kadhaa wakati wa kuwatunikia zawadi
wanafunzi waliofanya vizuri katika masomo ya Sayansi, Kemia na Baioloji
katika hafla iliyofanyika jijini Dar es salaam.
Picha mbalimbali zikionyesha wanafunzi wakipokea vyeti na zawadi katika hafla hiyo.
Picha mbalimbali zikionyesha wanafunzi wakipokea vyeti na zawadi katika hafla hiyo.
Baadhi ya wazazi wakiwa katika hafla hiyo.
Baadhi ya wanafunzi waliotunukiwa zawadi wakifuatilia hafla hiyo.
Baadhi ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali wakiwa katika hafla hiyo
Mgeni rasmi kutoka wizara ya afya ambaye ni mganga mkuu wa
serikali Profesa Mohamed Bakari pamoja na viongozi wa Mamlaka ya Maabara
ya Mkemia mkuu wa Serikali wakiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi
hao.
No comments:
Post a Comment