HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, May 10, 2018

MGOGORO WA WAKAZI WA PUGU NYAMWEZI WAPATIWA UFUMBUZI

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi ametatua mgogoro mkubwa ambao umedumu kwa muda mrefu kati ya wakazi wa eneo la Pugu Nyamwezi na mmiliki wa eneo hilo Bibi Jeshri Rawel.

Waziri Lukuvi ametoa maamuzi ya kuwataka Wakazi wa eneo hilo ambao wamejenga katika shamba la mmiliki huyo lenye ukubwa wa hekari 40 na kuweka makazi yao kulipia gaharama za umilikishwaji ardhi ili waweze kupatiwa haki ya kumiliki eneo hilo.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akiwa katika picha ya pamoja na wakazi wa eneo la Pugu Nyamwezi lenye ukubwa wa hekari 40 ambalo mmiliki wake ni Bibi Jeshri Rawel (kulia kwa waziri) ambaye anadai kuvamiwa na wakazi hao.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad