HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 9, 2018

MAKAMANDA WA POLISI WAJINOA KUUKABILI UKATILI WA KIJINSIA


 Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP, Simon Sirro akizungumza wakati wa Mafunzo ya kuwajengea uwezo Mkamanda wa Polisi wa Mikoa ya Tanzania kuhusu makosa ya ukatili wa kijinsia. Mafunzo hayo ya siku mbili yameratibiwa na Dawati la Jinsia la Jeshi la Polisi na Shirika la Utu wa mtoto.
 Kamishna wa Polisi (Ushirikishwaji wa Jamii), Mussa Ali Mussa akizungumza wakati wa Mafunzo ya kuwajengea uwezo Mkamanda wa Polisi wa Mikoa ya Tanzania kuhusu makosa ya ukatili wa kijinsia. Mafunzo hayo ya siku mbili yameratibiwa na Dawati la Jinsia la Jeshi la Polisi na Shirika la Utu wa mtoto.
 Baadhi ya Makamanda wa Polisi wakisikiliza kwa makini hotuba ya IGP Simon Sirro (hayupo pichani) wakati wa Mafunzo ya kuwajengea uwezo kuhusu makosa ya ukatili wa kijinsia. Mafunzo hayo ya siku mbili yameratibiwa na Dawati la Jinsia la Jeshi la Polisi na Shirika la Utu wa mtoto (Picha na Jeshi la Polisi).
 Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP, Simon Sirro akifurahia jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Utu wa Mtoto, Mtengeti Koshuma (kushoto) na Mwakilishi wa UNFPA nchini Bi Christine Mwanukizi(kulia) baada ya kufungua Mafunzo ya kuwajengea uwezo Mkamanda wa Polisi wa Mikoa ya Tanzania kuhusu makosa ya ukatili wa kijinsia. Mafunzo hayo ya siku mbili yameratibiwa na Dawati la Jinsia la Jeshi la Polisi na Shirika la Utu wa mtoto.
Washiriki wa Mafunzo ya kuwajengea uwezo Mkamanda wa Polisi wa Mikoa ya Tanzania kuhusu makosa ya ukatili wa kijinsia wakiwa katika picha ya pamoja baada ya ufunguzi wa Mafunzo hayo ya siku mbili ambayo yameratibiwa na Dawati la Jinsia la Jeshi la Polisi na Shirika la Utu wa mtoto (Picha na Jeshi la Polisi).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad