Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitembelea Mradi wa umwagiliaji katika kijiji cha Jobag wilaya ya Karau, mradi uliojengwa kwa ufadhili wa shirika la World Vision.wakwanza kulia ni Mkurugenzi wa Miradi katika shirika hilo Revocatus Kamara.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitembelea Mradi wa umwagiliaji katika kijiji cha Jobag wilaya ya Karau ,mradi uliojengwa kwa ufadhili wa shirika la World Vision.
No comments:
Post a Comment