HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, December 19, 2016

Mrembo Stephanie Del Valle kutoka Puerto Rico atwaa taji la Miss World 2016

Mrembo Stephanie Del Valle kutoka Puerto Rico ndiye aliefanikiwa kushinda taji la Miss World 2016, lakini muwakilishi wa Tanzania Diana Edward Lukumai kwa bahati mbaya hakufanikiwa kufika nafasi za juu. 


Afrika Mashariki imeweza kuwakilishwa vizuri na miss kutoka nchini Kenya baada ya kufanikiwa kuingia Top 5 na ndio nchi pekee ya Afrika iliyofanikiwa kuingia Top 5 ya Miss World, huku Miss Dominician Republic akishika nafasi ya pili na Miss Indonesia akishika nafasi ya tatu. 
Mashindano hayo hayo yamefanyika Washington Marekani, Afrika ilipata nafasi kwa nchi za Kenya na Ghana kuingia Top 20.
Miss World 2016 akivalishwa taji.


Top 5 ya Miss World




No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad