HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, July 9, 2016

Wadau kutoka Tanzania walivyoipeperusha bendera yetu huko nchini Ufaransa

 Wadau kutoka Tanzania,Yusuf Dossaji, Akil Kasamali and Mustan wakiipeperusha vyema bendera yetu ya Taifa wakati walipokwenda kuangalia moja ya mechi za Kombe la Mataifa ya Ulaya, huko Nchini Ufaransa.
Wadau Yusuf Dossaji, Akil Kasamali na Mustan wakijumuika pamoja na mashabiki wengine wa soka kupiga ngoma kabla ya kuingia uwanjani.
Wadau wakiwakilisha ndani ya Dimba hilo.






No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad