HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, July 9, 2016

CAMPUS VYBEZ YA TIMESFM YAKUTANISHA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU KUJADILI CHANGAMOTO ZA AJIRA.

Watangazaji wa Kipindi cha Campus Vybez kinachorushwa na Kituo cha redio cha TimesFm ya jijini Dar, Sandra Temu na Raheem wakiongoza mjadala maalumu wa utakaoibua hoja ya kutatua changamoto ya ajira nchini, ambapo mjadala huo umeandaliwa na Kituo cha Timesfm redioni ndani ya kipindi cha Campus Vybez kinachorushwa kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa saa 3 kamili usiku. Picha zote na Cathbert Kajuna wa Kajunason Blog. 
BAADHI ya wanafunzi wa elimu ya Juu kutoka katika vyuo mbalimbali jijini Dar es Salaam, wakimsikiliza kwa makini Mtangazaji wa kipindi cha Campus Vybez katika mjadala maalumu wa utakaoibua hoja ya kutatua changamoto ya ajira nchini, ambapo mjadala huo umeandaliwa na Kituo cha Timesfm radion ndani ya kipindi cha Campus Vybez kinachorushwa kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa saa 3 kamili usiku. 

Mc Pilipili akitoa kibwagizo mara baada ya kukaribishwa. 






Mc Pilipili akijitambulisha kwa vijana, pembeni yake ni Ron Fidanza, Naibu waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Vijana Mhe. Anthony Mavunde. 
Msimamizi Mkuu wa radio ya TimesFm Ron Fidanza. 
Mhadhiri wa Lugha wa Chuo cha Ualimu DUCE, Mhe. Ruben Ndimbo akijitambulisha. 
Mmoja wa waalikwa akijitambulisha. 


Meza mkuu. 


13 comments:

  1. Hi to every one, the contents present at this site are
    actually remarkable for people experience, well, keep up the good work fellows.
    PHP Training Institute in Chennai

    ReplyDelete
  2. Well, do it's sharing it's very useful to my career.I easy understood for our well content.Keep it touch!!!
    Selenium Training in Chennai

    ReplyDelete
  3. nice topic which you have choose.
    second is, the information which you have provided is better then other blog.
    so nice work keep it up. And thanks for sharing.
    Epoxy Grout manufacturer in delhi

    ReplyDelete
  4. hi, nice information is given in this blog. Thanks for sharing this type of information, it is so useful for me. nice work keep it up. led lawn lights in delhi

    ReplyDelete
  5. This blog is having the good information. Got a creative work and this is very different one.We have to develop our creativity mind.This blog helps for this.Thank you for this blog.This is very interesting and useful.

    python Training in chennai

    python Course in chennai


    ReplyDelete
  6. Online football betting i99club, one of the world's leading online gambling sites, provides the best prices in football betting เว็บแทงบอล


    Ufabet1688 online betting website UEFA Bet is a 100% legal website with all licenses. ufabet


    UEFA football betting, casino, slots, lottery, direct website 1688, stable financial, 100% UFABET168. ufa


    Fan wreath shop with free delivery, with pictures before-after sending with receipt. พวงหรีด


    Sticking to the COVID-19 situation: Arekorenavi.info. โควิด


    Online Baccarat FOXZ24 Easy to apply, fast, deposit-withdraw 10 seconds with the system. บาคาร่า

    ReplyDelete
  7. Attractive component of the material. I just stumbled across your web site and accession capital to say that I really enjoyed your site. Fill the form with accurate and complete information about the traveler's data, passport details, date of travel and the type of visa they wish to obtain. Visa cost Turkey required to cover the expenses involved in the processing of the visa application.

    ReplyDelete
  8. Keep up the work, great job. And I am satisfied to read your article. Turkey visa for US citizens online is easy and fast. you can fill your visa application form turkey & within 24 hour you can get your visa.

    ReplyDelete

Post Bottom Ad