HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, June 15, 2016

BASI LA TAHMEED LATEKETEA KWA MOTO MCHANA HUU

Basi la abiria mali ya Kampuni ya Tahmeed, lililokuwa likitokea Jijini Tanga kuelekea Jijini Dar es salaam, likiteketea kwa moto mchana huu katika eneo la Komkonga. Inaelezwa kuwa Ajali hiyo imetokea wakati Basi hilo likiwa limesimama baada ya Abiria mmoja kuomba msaada tutani "WA KENDA KUCHIMBA DAWA" ambapo baadhi ya Abiria wengine nao walishuka na kusikia harufu ya tairi linaloungua. muda mchache tu tairi hilo lilipasuka na moto kuanza kusambaa hadi kwenye tanki la Mafuta. Hakuna mtu yeyote aliepoteza Maisha kwenye ajali hii na hakuna mali iliyoweza kuokolewa.
Basi hilo lilipoanza kushika moto.
Basi hilo likiwa limeteketea lote kwa moto mchana huu.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad