.
Mratibu wa GIZ Mkoa wa Tanga,Apolinary Primus Rutakuburwa ambao wanasapoti huduma za afya na matibabu kulia akisisitiza jambo wakati wa semina hiyo kushoto ni Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoa wa Tanga (NHIF) Ally Mwakababu akifuatilia kwa umakini.
MENEJA wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoa wa Tanga (NHIF) Ally Mwakababu akisisitiza jambo wakati wa semina ya waratibu wa CHF mkoa mzima wa Tanga ikiwa na lengo la kuwajengea uwezo.
Mratibu wa CHF Mkoa wa Tanga,Apolinary Primus Rutakuburwa kulia akisisitiza jambo kwa waratibu wa CHF mkoa wa Tangawakati wa semina iliyokuwa na lengo la kuwajengea uwezo.
Waratibu wa CHF Mkoa wa Tanga wakinakili maelezo kutoka kwa Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoa wa Tanga (NHIF) Ally Mwakababu wakati wa semina iliyokuwa na lengo la kuwajengea uwezo waratibu wa mkoa mzima.
Habari kwa hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha.
No comments:
Post a Comment