HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, January 11, 2016

MZEE KATIKA USAFI WA KUCHA MTAANI KWETU...

Mzee wa Mtaani kwetu Jina lake Kapuni akilekebisha Kucha zake katika hali ya kuzisafisha ili mambo yaweze kwenda sawa Machoni kwa Watu...
Katika hali ya utulivu na umakini wa hali ya juu..
Mzee wa Mtaani kwetu akiendelea na Usafi wa Kucha hapo kama alivyo naswa na Kamera ya Mtaa kwa Mtaa Blog.
Hapo akiwa amepozi sasa mara baada ya kuweka mambo sawa ya kuweka Kucha zake katika hali ya Usafi...
#Kamerayamtaakwamtaablog..

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad