Binti yetu Asha Ibrahim sanjari na Cheti chake cha kuhitimu kidato cha nne, katika Ukumbi wa shule ya Sekondari Mbalizi Mbeya Vijijini
Kutoka Kulia ni Mama Mzazi Chiku Ibrahim, Bi.Asha Ibrahimu na Mama Karim Shoto katika Taswira ya pamoja katika Hafra ya Maafali ya kumpongeza Bi.Asha Ibrahim kuhitimu kidato cha nne Katika Shule Ya Mbalizi Sekondari iliopo Mkoani Mbeya.
Mama Mkubwa Shoto Sikitiko Mursali Akimtunuku zawadi Bi Asha Ibrahim.
No comments:
Post a Comment