HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, November 21, 2015

HIVI NDIVYO MAMBO YALIVYOKUWA WAKATI RAIS MAGUFULI AKILIHUTUBIA BUNGE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe magufuli akihutubia Bunge la Jamhuri kama ishara ya kuzindua Bunge la 11.
Kabla ya Rais Dkt. Magufuli kuzindua Bunge, Mwanasheria Mkuu wa Serikali George Masaju aliomba Bunge likubali kutenguliwa kwa kanuni za Bunge ili kuruhusu wageni kuingia ndani ya Bunge hilo.
Wabunge walionesha kuridhishwa na hotuba ya Mhe. Rais Makufuli, wakipiga meza kuunga mkono hotuba hiyo.
Mhe. Rais Dkt. Magufuli (wa pili kushoto) akiwa na Marais Wastaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (wa pili kulia), Benjamin Wiliam Mkapa (kulia) na Alhaj Ali Hassan Mwinyi (kushoto).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad