HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, November 4, 2015

FUNDI ANASA KWENYE MTEGO...

Ni mara baada ya Kijana huyo aonekanaye kumpa Msaada mwenzake alie nasa Mguu wake wa Kulia katika Chemba alipo kuwa akifanya shughuli zake katika Chemba hiyo fundi huyo alisikika akipiga Yowe ya kutaka msaada na hatimae kupata msaada kwa Kijana alie kuwepo jirani na fundi huyo Mara tuu baada ya Kunasa katika Chemba hiyo....
"Vutaaaa Tweendeeeee Tweeeendeeeee"
"Du pole sana lakini hata haujaumia sana kumbe ni bora ningekuacha kidogo utaabike hata Damu hazitoki duu"
#Kamerayamtaakwamtaablog.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad