HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, October 21, 2015

UCHAMBUZI WA HABARI ZA MAGAZETINI OKTOBA 21,2015

  Majimbo kumi ya kufa au kupona kati ya CCM na CHADEMA. Masha akamatwa tena.Yote haya utayapata katika magazeti ya leo;  https://youtu.be/he5sNUP8L1A

Magufuli kutikisa Dar kwa siku tatu. NEC yasema kukusanyika mita 200 ni hujuma na kwamba kutazua hofu kwa wapiga kura; https://youtu.be/1cf2IYpQLjU

Mchungaji afungwa kifungo cha maisha kwa kumbaka mwanae. Wataalam wasema ni vigumu chopa kulipuka ;  https://youtu.be/XPE-WhIy80E

Simba ,Yanga vitani leo, Kiiza mchezaji bora September. MO yaitaka Simba kwa Bil.20. Pata habari za michezo katika magazeti ;  https://youtu.be/DdCCFWuu-ow

 Mbowe anena mazito katika mazishi  wa Dr.Makaidi.Pata habari kutoka magazetini zilizopewa kipaumbele kwa siku ya leo;https://youtu.be/JgWToCo-FNo

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad