HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, October 29, 2015

UCHAMBUZI WA HABARI TOKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI OKTOBA 29, 2015.

Huu ni uchambuzi wa Habari toka vituo mbalimbali vya Televisheni Asubuhi Hii Oktoba 29, 2015.

SIMUtv: Mwenyekiti wa ZEC Jecha Sakim Jecha jana ametangaza kufuta Matokeo ya Uchaguzi visiwani Zanzibar kutokana na kasoro Lukuki. https://youtu.be/2YWBj1NboRA
SIMUtv: Chama Cha Mapinduzi CCM kimekusudia kwenda mahakamani  kupinga matokeo ya uchaguzi ya majimbo 4 ya Ndanda, Iringa mjini, kawe na Mikumi. https://youtu.be/WPEDVwm7ckE
SIMUtv: Baadhi ya wachambuzi wa Masuala ya kisiasa wamesema ufutaji wa Matokeo Zanzibar utatoa fursa kwa Wananchi kuendelea na Majukumu yao. https://youtu.be/-H8umF9i3SI
SIMUtv: Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC leo inatarajia kukamilisha kutangaza matokeo ya kura za Uraisi wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania. https://youtu.be/XbfizVTZFvA

SIMUtv: Kutana na mchambuzi wa maswala ya siasa akielezea mwenendo wa uchaguzi  mkuu uliofanyika hivi karibuni;https://youtu.be/Krbe5eu87VA
SIMUtv: Fuatilia namna wataalam wa siasa wakichambua muenendo wa siasa na wanasiasa katika mjadala wa leo hapa Simu.tv; https://youtu.be/_NqzuwTv1cc

SIMUtv: Je waangalizi wa uchaguzi mkuu kutoka nje na ndani ya nchi wana mchango gani katika uchaguzi mkuu? Fuatilia mjadala hapa. https://youtu.be/y0oGcVZzs2k
SIMUtv: Wananchi wamekuwa na maoni tofauti tofauti juu ya kufutwa kwa uchaguzi wa Zanzibar na tume ya uchaguzi ZEC; https://youtu.be/avllJRMlUAk

SIMUtv: Shirikisho la mpira wa miguu duniani(FIFA) limetaja majina saba watakaowania kiti cha uraisi, afrika wakijitokeza wawili; https://youtu.be/Hws7xP8abuI

SIMUtv: Ligi kuu Tanzania bara, Yanga ya banwa mbavu, Toto African yaibuka kidedea katika uwanja wake wa nyumbani;  https://youtu.be/gsbqcekHgbk


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad