HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, January 19, 2015

mmomonyoko wa ardhi katika kijiji cha Msimbati, Mkoani Mtwara waanza kudhibitiwa

Vikosi vya Jeshi la Ulinzi, Magereza, Polisi na wataalamu wengine wanaendelea na kazi ya kuthibiti mmomonyoko wa ardhi uliotokea hivi karibuni katika kijiji cha Msimbati, Mkoani Mtwara kufuatia mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga alipotembelea eneo ambalo limeathirika na mmomonyoko wa ardhi uliotokana na mvua iliyoambatana na upepo mkali
Eneo la ardhi ambalo limemomonyoka na kuzama baharini.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga (anayeelekeza) akishauriana na Meja Jenerali R. S. Laswai (wa pili kutoka kulia).
Baadhi ya Wanajeshi wakiendelea na zoezi la kuthibiti mmomonyoko.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad