HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, June 14, 2014

Zoezi la Uandikishaji wa Kaya Maskini lafanyika Mpanda Mjini

 Shughuli za uandikishaji wa kaya maskini linaloendeshwa na TASAF chini ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini katika awamu ya tatu ya TASAF. TASAF ni mfuko ulio chini ya Ofisi ya Rais ambao umepewa jukumu la kupambana na umaskini. Hapa ni katika mtaa wa Tambukareli, kata ya Mpanda Hoteli. Zoezi hili linafanyika piakatika Halmashauri ya wilaya ya Mpanda na Halmashauri ya wilayaya Mlele.
 Shughuli za uandikishaji wa kaya maskini linaloendeshwa na TASAF zikiendelea  wakati wa Zoezi la Uandikishaji wa Kaya Maskini Mpanda Mji
Wananchi wakisubiri Zoezi la Uandikishaji wa Kaya Maskini Mpanda Mjini

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad