HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, June 14, 2014

NAKUMATT HOLDINGS yaleta kazaa zaa Mlimani City jijini Dar,ni kwenye mauzo ya punguzo la bei

Nyomi ya wati imetapakaa katika eneo la shopping mall ya Mlimani City jijini Dar es salaam  muda huu baada ya Super Market mpya ya NAKUMATT HOLDINGS  iliyoinunua Shoprite STORES kufanya SELI ya 50% kwa bidhaa zote  zilizokuwepo kwenye Super Market hiyo, ili kupisha  mzigo mpya. Pichani ni baadhi ya watu wakichangamkia SELI ya bidhaa hizo.
 Hili ni Nyomi linaloonekana kwa nje na ndani kuna idadi kuwa ya watu waliobahatika kuingia toka asubuhi,kwa ajili ya saula saula hiyo ya bidhaa. Milango ilifungwa kutokana na kutokea kwa vurugu kubwa la watu waliojitokeza kwa wingi kwenye Super Market hiyo.
 Wengine wameamua kukaa chini kusubiri bahati  ya kuingia ndani ya Super Market hiyo kujipatia chochote kwa bei chee.
 Wengine wamejichokea kama hivi. 
 Chini foleni hadi nje leo...

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad