Kamera ya Mtaa kwa Mtaa,hivi karibuni ilibahatika kuzinasa picha hizi za Moto uliokuwa ukiwaka kando kando ya Barabara kwa madau kwamba wanachoma majani yaliyokuwa marefu kupita kiasi.je katika swala zima la Usalama wa magari na wale wapitao kwa Miguu,limekaaje??
Wednesday, July 10, 2013
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




No comments:
Post a Comment